Top Ad unit 728 × 90

Lord Eyes Kutengeneza Track Mpya Kwa P-Funk Majani

Msanii Lord Eyes ambae anatokea kwenye kundi la HipHop hapa Tanzania almaarufu kama Weusi Linalo waunganisha wasanii kama Joe Makini, Nicki wa Pilli, G-nako na wengine. Sasa habari kutoka kwa msanii huyo baada ya kukaa rumande kwa wiki chache kidogo kutokana na kesi inayomkabili, Lord Eyes ameamua kurekodi track yake mpya akiwa amemshirikisha Damian Mihayo, ila masanii huyo hakuwa tayari kusema jina la track hiyo bali alisema anataka kuifanya iwe surprise kwa mashabiki wake. Track hiyo inafanyika chini ya usimamizi wa P-Funk Majani katika Studio za Bongo Records ambapo Producer huyo alipost kwenye ukurasa wake wa Facebook hapo jana.
Chanzo: GONGAMIX
Lord Eyes Kutengeneza Track Mpya Kwa P-Funk Majani Reviewed by Unknown on Friday, November 23, 2012 Rating: 5

No comments:

All Rights Reserved by Dj Mchomo © 2014 - 2015
Powered By WordPress24x7

Contact Form

Name

Email *

Message *

Dj Mchomo. Powered by Blogger.