Hatunae tena...R.I.P SAJUKI
Msanii Juma Kilowoko (SAJUKI)amefariki dunia leo alfajiri katika hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es salaam.
Kwa mujibu wa Katibu wa chama cha waongoza Filamu Wilaya ya Ilala,Rajabu Amiri hivi karibuni Sajuki alikuwa anasumbuliwa na tatizo la upungufu wa damu.
Taarifa zaidi zinaendelea kutolewa
Hatunae tena...R.I.P SAJUKI
Reviewed by Unknown
on
Wednesday, January 02, 2013
Rating:
No comments: