Haya ndo mashairi ya wimbo mpya wa Baghdad akimshirikisha Wababa unaotoka rasmi tarehe 11 feb. 2013
Track : Mpaka Lini
Artist : Baghdad Ft Wababa
Studio : St Record
Producer : Yung kizi
Intro
Wababa : mwa mwa
mwa
mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
verse 1
The heavy whet a.k.a
dady au papi na unawish tungeoana
Na we ni black beauty
mama mamy inapendeza tungeoana
Mishe zangu dushelele
pushe pushe na baba ako ni poster
Nawaza nikurushe ili
uende kaburu na ukirudi ndo tule bata
Tutavaa nini bila ya
mishe mishe
Hunny tutakula bila ya
mishe mishe
Bila kuuza unga na
mbutee nangai na motema nisifikishe
Asee tutakuwa mabubu
mpaka lini
Honey tutakuwa viziwi
mpaka lini
Haya maisha ya boy
friend na girlfriend tu
Honey tutayaishi wote
mpaka lini
Baby tutasemwa semwa
mpaka lini
Tutakuwa midomon mpaka
lini
Haya maisha ya boy
friend na girlfriend tu
Honey baby tutayaishi
mpaka lini
Aseee okey mama mama
mama mamushka “I love you”
seiya mama mama mama
mamushka “I need you”
moyo unadunda dunda tu
ntamuogopa baba ako mpaka lini
sey tena mama mama mama mamushka “I love you”
seiya mama mama mama
mamushka “I need you”
the havey wheit na we
ni black beauty na wish tutaoana
chourus
naelewa maisha ni
subira ni subira mbona kwetuimezidi sana….
Wazazi wanataka
wajukuu na angali hatujaoana………..
Nieleze mpaka lini, wololo! wololo wololo
wololo
Mpaka lini mama, wololo ! wololo wololo
wololo
Mpaka lini wewe, wololo
wololo wololo wololo
Nieleze mpaka
lini, wololo wololo wololo
wololo
Verse 2
Nimeshawaza waza na
wewe ukiwaza na kuwazua
Honey Tusije
tukashangaza jamii mamy beyb tukawa
vilema wakuamua
Embu waza baba ako na
mama ako wasingefunga ndoa honey vip leo mngekuwa
Fikiria kaka ako na
wifi yako wasingefungandoa leo vip ingekuwa
Wapo wanaoukufil na
wanakupenda, mbele ya wazazi wataapa wanakupenda
Ukiwapa love honey
baada ya siku kenda, wameshakuchoka hawataki kukupa ata denda
Mi ndio naekufil na ndo
naekupenda, mbele ya wazazi ntaaapa nakupenda
Ata unipe love honey baada
ya miaka kenda, siwezi kukukimbia mbali nikaenda
ila sipendi ukinuna
Sura inatuna kama
nguna
Ila ukicheka maa furaa
kwangu na ndo maana nanuna
ila sipendi ukinuna
weweeeee!
Sura inatuna kama
nguna
Ila ukicheka maa furaa
kwangu na ndo maana nanuna
Chorus
chourus
naelewa maisha ni
subira ni subira mbona kwetuimezidi sana….
Wazazi wanataka
wajukuu na angali hatujaoana………..
Nieleze mpaka lini,
wololo! wololo wololo
wololo
Mpaka lini mama, wololo ! wololo wololo
wololo
Mpaka lini wewe, wololo
wololo wololo wololo
Nieleze mpaka
lini, wololo wololo wololo
wololo
Outro
Wordaaa asey
baghddibibididbi d dabidibidadi wababa
Dar to Kilimanjaro mpaka linddi
Dar to Kilimanjaro
mpaka linddi
Dar to nKilimanjaro
mpaka linddi
b.a.g.h waziwanda
what’s up
Dar to Kilimanjaro
mpaka linddi
Dar to Kilimanjaro
mpaka linddi
Dar to Kilimanjaro
mpaka linddi
Aaaa aaa aaa aaa aaaau
aaaau
Nilikuwa cha pombe we
“ mwa mwa mwa”
Nilikula mirungi “mwa
mwa mwa”
Vitoto usiseme “mwa mwa mwa”
Akia mungu swagaa zako
zimefanya nibwage weee
Bagdibidibi
dabidibidabidib
Waziwanda what’s up
Young kiz
St rec
Haya ndo mashairi ya wimbo mpya wa Baghdad akimshirikisha Wababa unaotoka rasmi tarehe 11 feb. 2013
Reviewed by Unknown
on
Saturday, February 09, 2013
Rating:
No comments: