Top Ad unit 728 × 90

NISHER: MIMI SIYO SHAROBALO

Yule producer mkali wa Bongo anayefanya vizuri nyanja zote kuanzia Audio Production hadi kwa Video production amewachana wale wanaomuita sharobalo na kudai yeye ni mwanaume anayejijali na kujua nini anakifanya so anawashangaa sana majamaa wanaomuita yeye Sharobalo... 

Nisher aliyasema hayo kupitia ukurasa wake wa FB...na hivi ndivyo alivoandika.. 

"Mimi sio "Sharobaro", Nawala sipendi Mtu Yeyote Akiniita "Sharobaro".... Mimi ni mwanaume Ninaye Jipenda tu, Najielewa, Najua Thamani Yangu Na Naelewa Umuhimu Wangu Kwa Jamii inayonizunguka... Maisha ninayo-ishi Sio Maigizo, wala kujifanya.....Maisha Yangu Ni halisi kabisa na Namshukuru Mungu... Ninaishi vizuri na Vaa Vizuri na Nakula Vizuri nina Kila Kizuri Binadamu wakaida angehitaji.....Lakini sikuzaliwa Navyo, wala sikuvikuta...Nimepitia Mengi sana Na Nimeweka Bidii sana katika Maisha.... Sasa nashangaa sana Mtu akiniita "Sharobaro" au "Bishoo" wakati yeye mwenyewe anapambana ili-atoke kimaisha! Daahhh ....Ukistaajabu ya Musa...........malizia! -nisher".......alimaliza kwa kusema hivo..

Huyo ndiye NISHER BYBEEE!!
NISHER: MIMI SIYO SHAROBALO Reviewed by Unknown on Tuesday, March 12, 2013 Rating: 5

No comments:

All Rights Reserved by Dj Mchomo © 2014 - 2015
Powered By WordPress24x7

Contact Form

Name

Email *

Message *

Dj Mchomo. Powered by Blogger.