JOH MAKER - NAKUNYOA KIPARA [Audio]
Jina lake halisi ni Jerome mushi ila Anajulikana kama Joh Maker Ni Mshindi namba mbili kutoka Morogoro wa mashindano ya SUPER NYOTA yaliyoandaliwa na Clouds Fm mwaka Jana 2012. Ni mwanafunzi wa chuo
kikuu cha Sokoine University Of Agriculture Morogoro. Baada ya mashindano hayo kuisha aliyouachia wimbo wa NIONDOKEE ambao alimshirikisha msanii Mabeste na Deddy.Pamoja wa hapo ameshafanya kazi nyingi na wasanii mbalimbali wanafahamika kama Godzilla Stamina Young killer Na wengine wengi Na Sasa Ameuwachia wimbo wake unaojulikana kwa jina la NAKUNYOA KIPARA uliofanyika katika Studio za KWANZA RECORDS
morogoro Chini ya Producer wake Vennt skillz anaomba support zenu ili kuweza kutimiza malengo yake
JOH MAKER - NAKUNYOA KIPARA [Audio]
Reviewed by Unknown
on
Thursday, May 16, 2013
Rating:
No comments: