PROF JAY AJIUNGA RASMI NA CHADEMA
Msanii wa hip hop Tanzania Joseph Haule ambaye pia ni miongoni mwa wasanii ambao wametoka mbali na muziki wa bongo flava amejiunga rasmi CHADEMA kwa kuchukua kadi ya chama hicho
Lakini jambo ambalo limewaacha wengi midomo wazi ni pale PROF JAY alipo tweet maneno haya ''vua gamba vaa gwanda'' ambayo ameyatumia kuwasilisha picha yake inayomuonyesha ameshika kadi ya chama hicho akiwa na mbunge wa mbeya mmjini Joseph Mbilinyi au MR II.
PROF JAY AJIUNGA RASMI NA CHADEMA
Reviewed by Unknown
on
Tuesday, May 21, 2013
Rating:
No comments: