Baghdad asema Birthday yangu ni shida
Pray GodKkweka a.k.a
Baghdad PG Kweka raper aliezaliwa miaka kadhaa iliyopita tarehe 11 feb amesema ya kuwa
'' kila mwaka umekuwa tofauti kwangu lakini
huu umekua maalumu sana na wa kukumbukwa kwenye maisha yangu kwa kuwa
La kwanza imenikuta nikiwa nimepungu mwili
kiwango nilichokuwa sikitarajii lakini nilikuwa nikiota kila siku kuwa nao
La pili imenikuta nikiwa kwenye lable ambayo
nilikuwa ninaota kila siku nilikuwa nikiwaza kupata lable itakayohakikisha
nitafanya mziki bila mawazo na kunihakikishia uhakika wa kufanya Videos na Audio
zenye kiwango cha kimataifa
Tatu nimeshukuru mungu siku ya kumbukumbu ya
kuzaliwa kwangu imenikuta niko na familia mpya ki mziki ambayo ina malengo na
tabia kama zangu na wananipenda mpaka najivunia kuwa mmoja wa familia ya vipaji
Tz, namzungumzia Byter, Aba, Jo Gift, Cilubus, Dream, Ninja, Herieth,
Ni kweli watu wanaokubali mziki wangu ni
wengi na wapo kila kona ya nchi ndan na nje ya nchi hivyo natamani ksheherekea
sikuku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu na watu wote wanaopenda kazi zangu na
kuheshimu nachokifanya lakini sintaweza hivyo nimerahisisha My No 0652 89 48
71, 0784 80 60 93 twiter Pray God Kweka,
instagram bagh_dad, facebook Baghdad Pg Kweka kwa lolote lile unaweza
kuchagua njia yoyote ambayo kwako itakuwia rahisi
Bali kwa wakazi wa dar
es salam j 5 tunakutana pande za maisha club kuanzia saa 5 usiku kwa kiingilio
cha sh 8000 tukutane pamoja tule keki pamoja na tuzindue video ya wimbo wetu
mpya ni Shida - Baghdad, Byter, Cilubus & Jo Gift. Ilioandaliwa na abbah
Process na video imeandaliwa na adam juma!
Baghdad asema Birthday yangu ni shida
Reviewed by Unknown
on
Tuesday, February 11, 2014
Rating:
No comments: