MSIBA WA GURUMO: HAKUNA ANAETUDAI YA NASH MC YASOGEZWA SIKU ZA KUTOLEWA
Kutokana na Msiba wa Mwanamuziki mkongwe nchini Muhidin Maalim Gurumo uliotokea Alasiri ya Jumapili tarehe 13/04/2014, Msanii Nash MC aliyetarajija kutoa Audio track yake aliyomshirikisha msanii Chaba Jumatatu ya tarehe 14/04/2014 sasa imesogezwa mbele hadi hapo itakapotajwa tena mara baada ya msiba huu kuwa umeisha na taratibu zimejulikana. Hayo yamesemwa na Nash MC mwenyewe kwamba kutokana na Heshima ya Mzee wetu mkongwe katika muziki haitakuwa busara kuuachia wimbo huo katika kipindi hiki cha Majonzi.
Fuatilia blog hii ujue ni lini wimbo huo utatoka rasmi.
Fuatilia blog hii ujue ni lini wimbo huo utatoka rasmi.
MSIBA WA GURUMO: HAKUNA ANAETUDAI YA NASH MC YASOGEZWA SIKU ZA KUTOLEWA
Reviewed by Unknown
on
Sunday, April 13, 2014
Rating:
No comments: