Top Ad unit 728 × 90

ADELAIDA SEENGA Awa Miss Redd's Dodoma 2014 [Picha]

Adelaida Seenga mshindi wa Miss Dodoma 2014 akiwa na washindi wenzake, Wagesa Mshindi wa pili kulia pamoja a Linda mshindi wa tatu kushoto.

Adelaida Seenga akiwa katika pozi la furaha mara baada ya kutangazwa kuwa Mshindi.

Hatimaye mashindano ya kumtafuta mrembo wa Dodoma mwaka 2014 yamefanyika usiku wa kuamkia leo tarehe 31.05.2014 katika ukumbi mpya wa Kilimani Landmark ambapo mshindi wa mwaka huu Adelaida Seenga ndiye aliyeibuka kidedea wa mashindano hayo yaliyoshirikisha warembo wapatao 16 toka sehemu mbalimbali za mkoa wa Dodoma.

Watu waliojitokeza katika mashindano hayo walionesha kuridhishwa na matokeo kwani hapakutokea malalamiko yoyote toka kwa mashabiki na badala yake ukumbi mzima ulilipuka kwa kelele za shangwe kuonesha kuwa walikuwa wamemtegemea mshindi aliyetajwa.

Mgeni rasmi akiwa katika picha ya pamoja na warembo


Warembo wote wakiwa katika picha ya pamoja na washindi
Tazama Picha zaidi katika fainali hizo..........

































ADELAIDA SEENGA Awa Miss Redd's Dodoma 2014 [Picha] Reviewed by Unknown on Saturday, May 31, 2014 Rating: 5

No comments:

All Rights Reserved by Dj Mchomo © 2014 - 2015
Powered By WordPress24x7

Contact Form

Name

Email *

Message *

Dj Mchomo. Powered by Blogger.