Top Ad unit 728 × 90

WITNESZ: 'mkome kunitongoza faecebook nimeolewa'

 
Wiki hili Msanii Witnesz ameamua kuwaweka wazi wanaume wenye tabia mbovu za kuwataka wanawake katika mitandao ya kijamii hasa Facebook kwa kuwaambia wakome kumtongoza kwani yeye  ni mke wa mtu tayari na yupo katikka ndoa kwa miaka miwili sasa.... aliwataka wanaume hao kuacha tabiahiyo mara moja la sivyo atawaweka hadharani kwa kuwataja majina yao kupitia mitandao hiyo hiyo ya kijamii
 
mkome kunitongoza faecebook nimeolewa
Taarifa maalum kwa wale wote wanaopenda kutongoza facebook kwa upande wangu sipendi na sitaki kutongozwa kwa kuwa nimeolewa tayari na nina miaka miwili sasa toka niolewe so msijisumbue tafadhari na yeyote atakaye fanya hivyo kuanzia sas nitalichukulia jambo hilo kama ni kitendo cha dharau na kublock huyu mtu ikiwezekana kulianika hadharani jina lake ninawaheshimu wote na kuwachukulia kama kaka zangu na mashabiki zangu pia, much love!
· · · Jumatatu saa 8:42 mchana/ jioni ·
WITNESZ: 'mkome kunitongoza faecebook nimeolewa' Reviewed by Unknown on Wednesday, September 05, 2012 Rating: 5

No comments:

All Rights Reserved by Dj Mchomo © 2014 - 2015
Powered By WordPress24x7

Contact Form

Name

Email *

Message *

Dj Mchomo. Powered by Blogger.