Top Ad unit 728 × 90

Tazama Maziko ya Sharo Milionea amezikwa leo kijijini kwao Lusanga..


Msanii wa muziki wa kizazi kipya na tasnia ya filamu nchini Hussein Ramadhani ''Sharo Milionea''amezikwa leo kijijini kwao lusanga Kilichopo wilayani Muheza na kuhudhuriwa na mamia ya waombolezaji wakiwemo viongozi wa serikali na wasanii mbali mbali nchini. 

ITV NEWZ:
Tazama Maziko ya Sharo Milionea amezikwa leo kijijini kwao Lusanga.. Reviewed by Unknown on Wednesday, November 28, 2012 Rating: 5

No comments:

All Rights Reserved by Dj Mchomo © 2014 - 2015
Powered By WordPress24x7

Contact Form

Name

Email *

Message *

Dj Mchomo. Powered by Blogger.