FLAVIAN MATATA AFUNGUKA KUHUSU POSITION YA MASTAA WABONGO
Mrembo ambae ni mwanamitindo wa kimataifa FLAVIAN MATATA amefunguka kuhusu watu wanavyowachulia mastaa wa kibongo kuwa tofauti sana na vie inavyobidi kuwa
coz mbele(ulaya na nchi zilizo endelea) mastaa wanachukuliwa kama matangazo kipindi wanapokuwa katika maeneo ya starehe hivyo hawapaswi ku-pay pesa yoyote kuanzia kiingilio mbaka vinyaji eti kwa kuwa wanasaidia kuvuta wateja wakiwa maeneo hayo ya staehe hata kwa mishe zao
Mbali na hayo ameeleza kuwa kesho tarehe 21 may ndiyo siku aliyofariki mamayake mzazi hivyo watafanya misa nyumbani kwao na kuwaombea waanga wote ambao wlifariki katika ajali ya meli miaka ya nyuma.
FLAVIAN MATATA AFUNGUKA KUHUSU POSITION YA MASTAA WABONGO
Reviewed by Unknown
on
Monday, May 20, 2013
Rating:
No comments: