G-Hood na Defxtro - Naendelea kutafuta [Audio]
Anaitwa G-Hood toka Arusha,Newcomer aliyeanza harakati za kurekodi mwaka huu, na zaidi ni rapper anayefanya zaidi muziki wa crunk na pia Trap..Ngoma yake amefanya pande za Noizmekah studios akimshirikisha defxtro katika chorus ya wimbo huu wa "Naendelea Kutafuta" Download HAPA CHINI na endelea kusupport muziki wa Tanzania
G-Hood na Defxtro - Naendelea kutafuta [Audio]
Reviewed by Unknown
on
Friday, May 17, 2013
Rating:
No comments: