KANDA MSETO 'CHIZI' YA NASH MC KUTOKA MWEZI HUU
Tarehe 15 ya mwezi huu wa Sita ndio siku ambayo Msanii Nash MC ataachi Kanda Mseto yake [MIXTAPE] inayokwenda kwa jina la 'CHIZI' ambayo itakwenda kwa bei ya Shilingi za kitanzania 5000 tu..kwa wale wote watakaohitaji wanaombwa kuwasiliana na NASH MC mwenyewe kwa namba hizi 0713900994.
Onesha uzalendo kwa kununua kazi za Wasanii wetu wa Tanzania na kuendelea kukuza soko la muziki wetu wa nyumbani.
KANDA MSETO 'CHIZI' YA NASH MC KUTOKA MWEZI HUU
Reviewed by Unknown
on
Sunday, June 02, 2013
Rating:
No comments: