Top Ad unit 728 × 90

Yaliyojiri kwenye uzinduzi wa Ukumbi mpya DODOMA CARNIVAL [Picha]

 
Jana Jumapili ya tar 08.06.2014 ulifanyika uzinduzi wa ukumbi mpya mjini Dodoma uliopo maendeo ya Stendi ya mkoa ambapo ilikuwepo Bendi mpya ya Malaika au Wafale wa Masauti waliotoa burudani kali mbele ya mashabiki wao kibao waliojitokeza kufurahi jioni...

Tazama picha mbalimbali watu wakila burudani mwanzo mwisho.

Andrew Sekedia alitekenya kinanda vya kutosha kuwapagawisha mashabiki

Wafalme wa Masati hapa wakilikamua Sebene ipasavyo






Christian Bella akikamua sambamba na wanamuziki wenzake




Mashabiki walishindwa kukaa kwenye viti kiasi cha kusogea na kulisakata Rhumba kali zilizokuwa zikishushwa toka kwa Wafalme wa masauti











Christian Bella akiwaimbisha mashabiki wimbo wake mpya wa Mama


Hapa wanenguaji nao walifanya yao sambamba na Rapa wa bendi hiyo







Dj Kipaso toka Dodoma Carnival nae aliongea yake machache


Mkurugenzi wa Dodoma Carnival alitoa yake machache na kuwakaribisa watu wote wa Dodoma kufika pale kwani ndo kiwanja kinachokimbiza kwa sasa hapa Dodoma



Shabiki alipanda jukwaani kuonesha uwezo wake...ilikuwa ni shiiiiiiiidaaaaa......

Shabiki Elibariki au Osama Mweusi kama alivyopewa jina hilo hapo jana alipanda na kuonesha yake.


Boss Ngasa nae alikuwepo


Yaliyojiri kwenye uzinduzi wa Ukumbi mpya DODOMA CARNIVAL [Picha] Reviewed by Unknown on Monday, June 09, 2014 Rating: 5

No comments:

All Rights Reserved by Dj Mchomo © 2014 - 2015
Powered By WordPress24x7

Contact Form

Name

Email *

Message *

Dj Mchomo. Powered by Blogger.