Top Ad unit 728 × 90

GARI LA KUKODI LAMTOKEA PUANI JACK CHUZ


MWIGIZAJI wa Kibongo, Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kukodi gari aina ya Totota Spacio lenye namba za usajili T 750 BPK na kushindwa kulipa.

Bongowood iliambiwa na aliyemkodishia kuwa Jack Chuz alipewa gari hilo alitumie kwa siku tano kwa makubaliano ya kulipa elfu 50 kwa siku lakini zilipomalizika, alilirudisha na nusu ya fedha hivyo anasakwa na polisi kwa jalada la kesi namba RB/CH/ 6031/2012 huku bidada akijitetea kuwa alikuwa amesafiri..


GARI LA KUKODI LAMTOKEA PUANI JACK CHUZ Reviewed by Unknown on Monday, August 27, 2012 Rating: 5

No comments:

All Rights Reserved by Dj Mchomo © 2014 - 2015
Powered By WordPress24x7

Contact Form

Name

Email *

Message *

Dj Mchomo. Powered by Blogger.