Kadinda alamba shavu kwa OBAMA!
Hapa namzungumzia Martin Kadinda, ambaye tayari kwa hapa Bongo
kashawavalisha mastar kibao kuanzia wanamuziki, mapedejee na bila
kusahau watoto wa mujiniii.
Kwa taarifa yako tu ni kwamba Martin amekula shavu New York nchini
Marekani, katika maonyesho ambayo ni maarufu na makubwa ambayo hufanyika
katika miji mikubwa ya Paris, London na Milan kwa ajili ya kuonyesha
kazi zake.
Kadinda alamba shavu kwa OBAMA!
Reviewed by Unknown
on
Thursday, August 30, 2012
Rating:
No comments: