Msechu kuwakilisha kwa OBAMA!
Msanii wa muziki wa kizazi kipya bongo, Peter Msechu, ameelekea
nchini Marekani kuwawakilisha wasanii wa Bongo kwenye mkatano mkuu wa
jumuia ya watanzania wanaoishi nchini Marekani ‘BICOTA’ mkutano
utakaodumu kwa siku tano.
Msechu anakuwa ni msanii wa pekee kuhudhuria mkutano huo ambao lengo
kubwa ni kujadili mambo madogo magodo yanawasumbua watanzania ili kuweza
kujua namna watakavyo yatatua, kwa njia ya kutoa misaada wa elimu na
mambo mengine kulingana uwezo wao.
Hata hivyo safari hiyo itahusisha mambo mengi kama vile show pamoja na ratiba nyingine za kutosha.
Msechu kuwakilisha kwa OBAMA!
Reviewed by Unknown
on
Tuesday, August 28, 2012
Rating:
No comments: