Top Ad unit 728 × 90

WITNESS MUZIKI NA U-DOCTOR ZOTE NI PROFESSIONAL ZAKE


Witness inaonekana safari yake nchini Marekani haikuwa ya bure kwa maana kwamba kuna vitu ambavyo vile vile alikuwa akienda kuviweka sawa... hili ilimegundulika hivi karibuni baada ya kuandika katika ukurasa wake wA Facebook maneno haya hapa chini:-

"tsup ma pipo ninapenda kuwataarifu wale watu ambao walikuwa wakinisubiri kuhusiana na maswala ya kiafya kupunguza uzito naturally,matattizo ya macho na magonjwa mbali mbali kwamba nimeanz kazi rasmi leo, kwani hakuna sababu ya mtu kuumwa ispokuwa usipo upatia mwili lishe bora yenye vitamin na madini ya kutosha kwa ajiri ya ya mwili kujimantain wenyewe je wajua mwili uliumbwa kujitibu wenyewe ukipata some sort of damage!? lakini hii yawezekana tu kwa kula vyakula sahihi vya kuusapoti mwili uweze kujikimu wenyewe. so, kama una tatizo lolote lile lihusulo afya unachohitaji ni kupiga simu tu ili kupata ushauri wa nini cha kufanya hata kama hujawahi kunenepa yote yanawezekana 0717 757 582 much love!"

Dj Mchomo Team inajiuliza kwama siku hizi witness kawa Doctor ama ni mshauri wa masuala ya kiafya... news zaidi utazipata pindi yeye mwenyewe Witnez atakapoweka wazi kuhusiana na hili..
WITNESS MUZIKI NA U-DOCTOR ZOTE NI PROFESSIONAL ZAKE Reviewed by Unknown on Wednesday, August 22, 2012 Rating: 5

No comments:

All Rights Reserved by Dj Mchomo © 2014 - 2015
Powered By WordPress24x7

Contact Form

Name

Email *

Message *

Dj Mchomo. Powered by Blogger.